Pokea Sifa Zetu (Ombi) lyrics

by

Congress MusicFactory


POKEA SIFA ZETU (Ombi)

Nakupa shukrani zangu. Asante Yesu. Asante Bwana. Asante Bwana wangu. Asante Muumba wangu
Asante Bwana wangu, Mwokozi wangu, Mungu wangu. Nakuabudu. Nakutukuza. Nakuinua na ninakutukuza
Wewe pekee yako wastahili kupokea sifa zangu, ninakubariki. Wewe pekee wastahili kupokea sifa zangu, Ninakushukuru. Nakushukuru Bwana. Nakushukuru Bwana

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net