Wewe Pekee lyrics

by

Congress MusicFactory


WEWE PEKEE

[Ubeti]
Kwa moyo wangu nakuabudu
Maishani mwangu nakuheshimu
U Bwana wangu, nakupa yote
Natoa sifa zangu kwako pekee

[Ubeti]
Kwa moyo wangu  nakuabudu
Maishani mwangu nakuheshimu
U Bwana wangu, nakupa yote
Natoa sifa zangu kwako pekee

[Pambio]
Kwako pekee, We pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee
We pekee, We pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee

[Ubeti]
Kwa moyo wangu nakuabudu
Maishani mwangu nakuheshimu
U Bwana wangu, nakupa yote
Natoa sifa zangu kwako pekee

[Pambio]
Kwako pekee, We pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee
We pekee, We pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee
Natoa sifa zangu kwako pekee

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net