Nairobi lyrics

by

Marioo



[Instrumental Intro]
Ooh, ooh yeah
Kutoka, haloo
Mm, mm
(It's Cannibal)

[Verse 1: Marioo]
Nilikutana nae 'Kilimani, Nairobi
Elfu mobile na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, ki jua fulani sio kikali, saa tano
Oh, Nairobi elfu mobile na kumi na tano
Nikamchagua yeye, katikati ya wenzake watano
(Ah)
Nikamuomba, akaniomba 'number
Moyoni mwangu nikampa 'moja
She's my number, number, 'moja
Nikamuomba, akaniomba number
Moyoni mwangu nikampa moja
Now, she's my number, number, 'moja
Yaani namaanisha kwamba...

[Chorus]
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
[Instrumental Break]

[Bridge: Bien]
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana

[Verse 2: Bien]
Tulipatana Bongo, 'Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumba, yumba akidondosa kishenzi
Oh, Mikocheni
Nikamfuata utadhani zombie
Habari gani, mbona uko lonely?
Jina ni gani? 'akasema, Zai
Nikamwambia aje (Aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi, ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mimi na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Yay, yay, yay
Yaani namaanisha kwamba...
[Post-Chorus: Bien & Marioo]
Ndio tushaoana
(Nishaoana na yeye, sa ni mi tu na yeye)
Tushaoana
(Nishaoana na yeye, sa ni mi tu na yеye)
Ndio tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana, ah
Oh, yeah, yeah
Tushaoana
Oh, oh, haloo
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net