Raha lyrics

by

Marioo



Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima?
Aii utajiji
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang'au
Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka
Hadharani unanisusia
Kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa
Mwenzako ananinyenyekea
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
Mpa ka raha mpaka
Natakatishwa
Mpa ka raha mpaka
Anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka
Naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka
Na tena naenjoy
Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho
Na kama mapenzi
Roho yake bahari
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga
Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa
Mwenzako ananinyenyekea
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenyе bomba
Na tena naenjoy
Mpa ka raha mpaka
Natakatishwa
Mpa ka raha mpaka
Anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka
Naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka
Na tеna naenjoy
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net