Mapoz lyrics
by Mr. BlueTZ
[Intro: Jay Melody]
Mmh, mmh
Ooh no, no, no
Jay once again
[Verse 1: Jay Melody]
Penzi zito kilo mia hamsini
Vile napata raha utaniambia nini
Kuna muda kama siamini
Na kuna muda ni kaa napendwa na jini
Maana penzi lako ndege mtini
Niko matawi ya juu nishatulia mimi
For your love let me sing, sing
Nisha kolea hatari mapenzini
[Bridge: Jay Melody]
Tamu pipi ya kijiti
(Anhaa)
Ukiilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndo ya mkeka
Penzi halishikiki
(Anhaa)
Linavyo tetemesha
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza
[Chorus: Jay Melody]
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mapoz na mi
Mapozi nami, mi na mapozi nami
Mapozi nami, mi na mapozi nami
Mapozi nami, mi na mapozi nami
(Mmmh)
Mapozi nami, mi na mapozi nami
[Verse 2: Diamond Platnumz]
Na sio ndumba wala
Raha tu zimenizidi
Sio mambo ya mitaala
Penzi mwenyewe nafaidi
Nakumbatwa kwa baridi
Usinione nna ng’ara
Natunzwa al habibi
Oh, oh
Matikiti kudondoka
Matikiti kudondokea
Marafiki huwa ni nyoka
Hivyo chunga wanayo ongea
Nikande, kande nikichooka
Sio narudi unanifokea
Huenda mwenzio niliko toka
Mambo fyongo hayajaninyookea
[Bridge: Diamond Platnumz]
Tamu pipi ya kijiti (Anhaa)
Ukilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndoa ya mkeka
Penzi halishikiki (Anhaa)
Linavyo tetemesha jamani
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza
[Chorus: Diamond Platnumz & Mr.Blue]
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mapoz na mi
Na mi
Mapoz na mi
Mapoz na mi
Let's go, Bizzy Babylon
Mapoz na mi
Mapoz na mi
Yente
[Verse 3: Mr. Blue]
Ngoja, huu ni usiku au mchana?
Hold up, hii ni leo au ni jana?
Mapozi na mi
Uh
Unanikumbusha ujana
(Ujana)
Roho unavyo irusha nitakuja kufa, msichana
Nimepagawa uwanjani, na sijui ngapi, ngapi
Refa ni nani?
Mbona mpira hauji kati?
Nichague kijani, yellow au purple?
Au nije muda gani?
Ili niende na wakati
Unawakanya mabishoo
Kitandani unanipa show
Mpaka nasahau Show
(Ah, wee!)
Ah, unanichanganya kwenye roho
Usije kunidanganya, no
Weka penzi, nieke dough
(Ah, wee!)
[Bridge: Mr. Blue]
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
[Chorus: Diamond Platnumz]
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
[Outro: Diamond Platnumz]
Eyo, zombie
What it do? He-he
We back
Number moja, moja, moja, moja
Hi ni sauti ya Rais
Yaani President, ha
Haujui