Attention lyrics

by

Zuchu



[Intro: Whozu & Zuchu]
Yezzeman
...Zombie
(S2Kizzy)

[Verse 1: Whozu]
Umetoka kwenu bush, nakuona
Sa hivi unajiona
Una force kujipost, post na'
Hakuna kitu naona (Yeah)
Wewe sio wa kwanza kukupenda
Naweza kukuacha na ukaenda
Ukitaka ushindani, uta-surrender (Surrender)
Uta-surrender

[Hook 1]
Haya, haya, ’tia maji
Haya, haya, 'tia maji
Kununua zako huwezagi
Basi bora unywe maji

[Chorus: Whozu & Zuchu]
Huna jipya
Tena umepauka
Unapenda attention
Attention
Una sifa, ona limekushuka
Sikupi attention
(Mm-mm)
Attention
(Wee!)
[Verse 2: Zuchu]
Mungu naomba unisamehe kwa hili kosa (Hili kosa)
Huyu mbwa nimemvumilia, nishachoka (Nishachoka)
Nilikaa kimya bubu, ukaleta uduanzi
Sasa leo nakujibu upate vi-followers
Kwanza, kisu chako butu
Hakinoi, hakikati, yaani-
Um, tum, tum, tum
Tum, tuku, tum, tuku, tutu
Unajitia mchati huna kitu, tu, tu
Unacho niudhi huna kumbukumbu
Ulikuja juzi umekonda kama mbu
Nikakupa ujuzi kukutoa ukungu
Usilete makuzi, kaoshe map-

[Post-Chorus: Whozu & Zuchu]
Huna jipya
Tena umepauka
Unapenda attеntion
(Kwenda!)
Attention
(Hovyo)
Una sifa, ona limekushuka
Sikupi attеntion
(Hilo!)
Attention
(Hilo!)
Eti nyoko, nyoko
Nyoko, nyoko
[Hook 2: Zuchu, Both, & Whozu]
Haya, haya, 'tia maji
Haya, haya, ’tia maji
Kununua vyako huwezagi
Basi bora unywe maji

[Outro: Whozu]
Huna jipya
Tena umepauka
Unapenda attention
Attention
Una sifa, ona limekushuka
Sikupi attention
Attention
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net