Makonzi lyrics

by

Zuchu



[Intro]
LG ih
LG ah, ah ah
Mr LG

[Verse 1]
Ndo kakwambia ataniacha
Haha hehe unachekesha sana
Hizo ni ndoto za alinacha
Haha hehe anakundanganya
Hata umpe nini
Hunin'goi Unajisumbua mwaya
Huyo bila mimi, hatoboi
Nimemshika pabaya

[Pre Chorus]
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukuta nae

[Chorus]
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
[Verse 2]
Kwanza unitambie umenizidi nini
Kubattlle na mie
Uje na wenzako tisini
Uliza uambiwe
Mimi mtoto wa nani (Kapaa)
Ukijifanya chawa
Mi mwenzako kunguni
Huna nini ?
Huna jipya nenda kwa mwampopo
Kikisafishwa labda ndo upate soko
Huna nini ?
Huna jipya nenda kwa mwampopo
Kikisafishwa labda ndo upate soko

[Pre Chorus]
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukuta nae

[Chorus]
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net