Malaika lyrics

by

Vusi Mahlasela


[Intro]
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika

[non-lexical singing]

[Verse 1]
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Ningekuoa mali we
Ningekuoa dada

[Chorus]
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika

[Verse 2]
Pesa zasumbua roho yangu
Pesa zasumbua roho yangu
Ningekuoa mali we
Ningekuoa dada

[Chorus]
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Ningekuoa mali we
Ningekuoa dada

[Bridge]

[Chorus]
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika

Malaika
Malaika, Malaika
We ningekuoa Malaika
Nakupenda Malaika
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net