Muhibu lyrics

by

Abigail Chams



[Intro]
Oh, it’s Abigail Chams again

[Verse 1]
Ka niko ndotoni
Unavyo nilevya
Upendo unanimaliza
Na uko moyoni unanitosheleza, baby
Na mwendo, nimaumaliza
Kwako baby

[Pre-Chorus]
Mimi ooh
Pressure inashuka, inapanda
Milio inainuka, inapanda
Mwenzio ooh
Nimekua chawa mdananda
Kila unapokwenda, nakuganda

[Chorus]
Utaniua kwa mapenzi haya
Utanikill kwa mapenzi haya ooh
Muhibu, muhibu, nimekuchagua
Tabibu, tabibu, ooh wewe tu wewe
Muhibu, muhibu, nimekuchagua
Wewe, tu wewe
Tabibu, tabibu, ooh mmh uh mmh
[Verse 2]
Mi siwezi
Maana naona nimeshindwa
Ndio mana nimekuachia wewe mmh
Kwenye penzi
We ndio mshindi, kwangu bingwa
Kikombe nakupatia wewe

[Bridge]
Siguni, sikohoi
Utachoniambia, sichomoi
Hapa nilipo, hoi
Sijiwezi, goi goi

[Pre-Chorus]
Mimi ooh
Pressure inashuka, inapanda
Milio inainuka, inapanda
Mwenzio ooh
Nimekua chawa mdananda
Kila unapokwenda, nakuganda

[Chorus]
Utaniua kwa mapenzi haya
Utanikill kwa mapenzi haya ooh
Muhibu, muhibu, nimekuchagua
Tabibu, tabibu, ooh wewe tu wewe
Muhibu, muhibu, nimekuchagua
Wewe, tu wewe
Tabibu, tabibu, ooh mmh uh mmh
[Outro]
Tamba baby, tamba baby
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net