Kuna lyrics
by Diamond Platnumz
[Verse 1]
Wenzako waolewa we huolewi kwani we
Ati una hila moja husemi na majirani we
Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
Sema na hila ya nne mwenzetu mchafu ndani we
[Chorus]
Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua
Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua
Kanijengee kibanda udugu wangu eeh eeh eh
Kanijengee kibanda shoga zako wataniua
Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua
[Bridge]
Lalilo lilo eeeeh, pambe tu
Lololo lololo
Lali lali lalii, laa lalii lali lali lalii
[Verse 2]
Ooo oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wotе zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh еh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini toss umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi
[Verse 3]
Acha nicheze mie
Na watu wangu jangwani nalia
Ooooh! Acha niringe mie
Na watu wangu jangwani nalia
Aaaaah! Aaah ah! Acha nicheze mie
Na watu wangu jangwani nalia
Acha nijishaue shaue
Na watu wangu jangwani nalia
Ooooh lolilo lilo eeeh!
[Verse 4]
Kuntu! Mambo hayo
Alolololo lolo lolooo!
Aah eeh mama mwanangu ooh!
Mama mwanangu ooh!
Aah mama mwanangu eeh!
Mama mwanangu eeh!
Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
Waniacha napinda mgongo we, mbona sijijvi
Aaah! waniacha napinda mgongo we, mbona usiniambie
[Verse 5]
Jamani mi naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Jamani naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa kijipu upele jama, naumwa huniambii pole
[Verse 5]
Oyaa mwafulani wee khaaaaa
Ooh mwafulani usitukane dangaji nakuambia aaah
Huo udangaji jauanza dadayo kuutumia
Ukiona mwana wa mwenzio budege
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Aaa ah ukiona mwana wa mwenzio mchele
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Ukiona mwana wa mwenzio shangingi
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Aaaah lilo lilo eeeh, tamu!
[Chorus]
Nipeni barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Jamani barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya bwana ndani eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya bibi ndani eeh, niisome
Barua ifike vyema eeh, niisome
Barua mama barua aah, eheeh, eh eh
[Verse 6]
Oooh nyie wana Dar es salama embu acheni umbumbumbu
Nyie wana Dar es salama acheni umbumbumbu
Shariti ni kuinama ukitaka cha uvungu
Asa mbona wapata bwana halafu humpi?
Naombeni barua yangu, niisome
Naikata barua yangu, niisome
Niisome barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Ah, eh
Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina sitokitaja
Ukiona chasimama ujue chataka haja
Ukiona kimelala kisha chafua mapaja
Jamani wewe
[Chorus]
Nipeni barua yangu, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya mwana ndani eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Niisome barua yangu, niisome
Barua jama bahaba, niisome
Mahaba jama ya muhiba, niisome
Ah, eh
[Verse 7]
Jamani kuna mama kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna nazi kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna kinyume nyume kuna
Kuna kimbele mbele kuna
Kuna kati kwa kati kuna
Kuna kinyume nyume kuna
Hasa ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku
Eh, ku, eh, ku, eh, ku, ku, ku, ku
[Verse 9]
Jamani kampata sharubaro jama kampeleka nyumbani
Muda wa kumpa mambo kamvalia miwani
Kule hakupaona kafanya kwa pajani
Jamani kuna sasa kuna kuna
Kuna embu kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna dada kuna kuna
Ricardo momo kuna kuna
Esma twende kuna kuna
[Verse 10]
Ooh udangaji udangaji jama ni habari ya mujini
Wenzako wapewa nyumba kwa magari ya injini
Hivi we dangaji gani hadi leo walala chini
Ngoja, embu kwanza kuna kuna
Jifunze kukuna kuna
Kwa kushoto kuna kuna
Kwa kulia kuna kuna
Haya ku, ku, kuku, kukuku, ku, ku, kuku, kuku
Eh, ku, eh, ku, eh, ku, ku, ku, ku
Ah, eh
Ah, ah, ah, ah
Ah, ah, ah, ah
[Verse 9]
Ooh, utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi kuchepuka nimeanza zamani mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi madanga nimeanza kitambo mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi mjini napajua kitambo mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
[Verse 10]
Hasa nataka dodoa haya dodoa
Nataka katika haya katika
Jama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Oooh nataka dodoa haya dodoa
Eh nataka katiaka haya katiaka
Jaama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Mama nataka nilewe
[Verse 11]
Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe
Oooh, jama nataka nilewe eh
Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe
Aaaah, hasa nataka dodoa haya dodoa
Jamani nataka katika haya katika
Aah, jama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Naataka dodoa haya dodoa
Jama nakatika haya katika
Ona najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Pambee eeeeh
[Outro]
Eeeh huo mnazi, unakatika
Mnazi, unakatika
Jamani mnazi, unakatika
Oooh, mnazi, unakatika
Ukitaka kukatika hukatika
Kati, kati, kati, kati, ka