Mapenzi Basi lyrics

by

Diamond Platnumz


[Intro]
(A-A-A, AM Records)
This is crazy
But, I just wanna tell you
How badly my heart is breaking
This is absolutely painful for me to say
'Damn’

[Chorus]
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki

[Verse 1]
Yalinifanya nikaugua
Mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Ah, sikulala (sikulala)
Oh, maradhi nikaugua, oh oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua
Sikulala...
[Pre-Chorus]
Eh
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Aiih
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Iye

[Chorus]
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
[Verse 2]
Oh, nilishagombana na mama mzazi
Akataka nimwagia radhi
Sababu yule fulani
Yule wa moyo wangu
Yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa Simba na panzi
Vurugu kwa majirani
Ah, e Mola yangu

[Pre-Chorus]
Eh
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Aiih
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Iye
[Chorus]
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net