Ha He lyrics

by

Just A Band


Microphone check one, one two (Musyoka)

[Verse 1]

Ukiwasha nare Mathare 'taonja vibare
Mi si mnati, si barbie, niko tu katikati
Staki kuskiza story za charity, charity
Nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
Sema oh

[Hook]

Juu tuko works mzeiya
Evacuate the area
Juu tuko works mzeiya

[Verse 2]

Serikali haijali
So naona mbwa kali afadhali
Dame amejam juu dough haikam
Na siwezi kum-show ati life ni exam juu
Ntatupiwa sufuria
Na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
So nikikupita tao, tao
Jua sio madharau-rau

[Hook]

[Verse 3]

Nipe, nipe nafasi
Nikueleze kiasi
Vile sisi hufanya
Pande hii ya the tracks
Hatuchezi na kazi
Usipoteze wakati
Tumekunja mashati

[Hook x 5]

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z #
Copyright © 2012 - 2021 BeeLyrics.Net